SERENGETI BOYS YATINGA FAINALI ZA CECAFA

Serengeti Boys Yatinga Fainali Michuano ya CECAFA

Vijana wa Serengeti Boys imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michuano ya CECAFA chini ya umri wa miaka 17 inayoendelea huko nchini Burundi.


Serengeti Boys wamefanikiwa kutinga kwenye hatua hiyo baada ya kuifunga Kenya kwa mabao 2-1 kwenye mchezo huo ambao umechezwa kwenye uwanja wa Muyinga.

Mabao ya Serengeti yamefungwa na Jafar Juma (21) na Kelvin Paul (62).


Share on Google Plus
Ahsante kwa kutembelea site yangu, unaweza kunicheki kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza icons juu kulia na kunipata moja kwa moja kwenye Facebook, Twitter na Instagram...Endelea kuwa karibu yangu ili uweze kufikiwa na chochote kinachonifika.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment