STEVE NYERERE ATEMBEZA BAKULI KWA WASANII WENZAKE MATIBABU YA MZEE MAJUTO

Steve Nyerere Kuwachangisha Wasanii Kumsafirisha Mzee Majuto Kwaajili ya Matibabu India


Wasanii wa filamu nchini Tanzania wakiwakilishwa na Steve Nyerere pamoja na Aunt Ezekiel Jumatano hii wamemtembela muigizaji mkongwe nchini, King Majuto, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Tumaini iliyopo Upanga Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza mara baada ya kumjulia hali hospitalini hapo Mwenyekiti wa Wasanii, Steven Mengele ‘Steve Nyerere’, amesema kutakuwa hakuna haja ya wasanii hao kutoa michango mikubwa mara tu, mzee Majuto atakapopoteza maisha, kwahiyo wamejipanga na kumtafutia tiketi mbili ili aweze kwenda India kupata matibabu. 
Share on Google Plus
Ahsante kwa kutembelea site yangu, unaweza kunicheki kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza icons juu kulia na kunipata moja kwa moja kwenye Facebook, Twitter na Instagram...Endelea kuwa karibu yangu ili uweze kufikiwa na chochote kinachonifika.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment