ANYWA SUMU KWA WIVU WA KIMAPENZI



Mzee wa miaka 54  Mkazi wa kijiji cha Isasa,   katika   wilaya  ya
Nkas mkoani Rukwa CHARLES GERVAS amefariki dunia baada  ya  kunywa
sumu  ya isio  fahamika   kutokana   na  wivu  wa   kimapenzi.

Kamanda  wa  polisi mkoani  Rukwa   amesema  chanzo Chanzo cha kunywa
sumu hiyo ni wivu wa mapenzi baada ya kukataliwa na mkewe MARIA MTETE,
Mfipa, Miaka 35,Mkulima,Mkazi wa Isasa ambaye alidai waachane na
marehemu baada ya kupata mwanaume mwingine na  kusema Mwili wa
marehemu  umehifadhiwa kituo cha afya Kirando kwa uchunguzi ili
kubaini sumu aliyoitumia kujiua.
Share on Google Plus
Ahsante kwa kutembelea site yangu, unaweza kunicheki kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza icons juu kulia na kunipata moja kwa moja kwenye Facebook, Twitter na Instagram...Endelea kuwa karibu yangu ili uweze kufikiwa na chochote kinachonifika.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment