Mkali
wa wimbo Aje na mshindi wa tuzo ya mwanamuziki bora wa EATV Award 2016,
Alikiba amefungua mwaka kwa kutangaza Tour yake ya kimataifa.
Muimbaji
huyo ambaye mwaka 2016 ulikuwa mzuri kwa upande wake baada ya kuchukua
tuzo 13 za kitaifa na kimataifa, tour yake itaanza February nchini
Afrika Kusini.
“Happy
New Year. It’s time to meet my fans across the world. I start with
South Africa in February 2017! . KING KIBA LIVE ON TOUR IN SOUTH AFRICA.
Contact Exclusive Agent & PR @matthewmensah for additional bookings
& endorsements in SA/Southern Africa.
#MTVEMABestAfricanAct#AlikibaSATour2K17#KingKibaWorldTour2K17
#KingKiba,” aliandika Alikiba kupitia facebook yake.
Muimbaji
huyo hivi karibuni alifanya show ya funga mwaka nchini Uganda, show
ambao ilidaiwa kuweka historia nchini humo kutokana na kuhudhuriwa na
watu wengi.
0 Maoni:
Post a Comment