Leo Julai 3, 2017, Mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Huruma Shahidi, Wakili upande wa Jamhuri, Shadrack Kimaro aliwasomea Mashtaka Mapya watuhumiwa hao ikiwemo uhujumu uchumi, kula njama, kughushi pamoja na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kuisababishia serikali hasara.
Awali watuhumiwa walishtakiwa kwa mashtaka sita na sasa yameongezwa sita mengine na kufikia 12.
Aidha, kesi hiyo imepangwa kutajwa tena Tarehe 14 Julai 2017.
0 Maoni:
Post a Comment