Kamati ya uchaguzi ya TFF yawapiga chini wajumbe wenye matatizo

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF), imewaondoa wajumbe wawili katika kamati hiyo.

Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Salum Madadi 

Uamuzi huo umefanywa na Kamati ya Utendaji ya TFF iliyokaa leo baada ya kubaini wajumbe hao wawili walikuwa na matatizo.

Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Salum Madadi amesema wajumbe wawili walioondolewa, mmoja alibainika aliteuliwa kimakosa na mwingine alikiuka maadili.

“Hivyo kamati ya utendaji imeteua wajumbe wawili kuziba nafasi zao,” alisema.
Share on Google Plus
Ahsante kwa kutembelea site yangu, unaweza kunicheki kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza icons juu kulia na kunipata moja kwa moja kwenye Facebook, Twitter na Instagram...Endelea kuwa karibu yangu ili uweze kufikiwa na chochote kinachonifika.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment