Wachezaji wa Ghana wakishangilia baada ya mchezo kumalizika
Timu za vijana za Ghana na Mali
zimefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika
chini ya umri wa miaka 17.
Mabingwa watetezi Mali wao wamefanikiwa kutinga fainali yao ya pili mfululizo baada ya kuwaondosha Guinea kwa penati 2-0 huku kipa wa Mali Youssouf Koita, akiwa shujaa wa timu hiyo kwa kuokoa michomo mingi na penati
Wachezaji wa timu ya MaliMchezo wa kusaka mshindi wa tatu kati ya Niger na Guinea nao utafanyika siku hiyo hiyo ya jumapili katika uwanja wa katika uwanja AmitiƩ Sino-Gabonaise.
0 Maoni:
Post a Comment