
Maafisa wa polisi wa Uholanzi wanawatafuta washukiwa wawili baada ya maabara ya dawa kupatikana na furushi moja la dawa zinazopendwa sana na wanajihadi.
Maafisa hao walikuwa wamebaini walikuwa wamegundua dawa bandia za Capton na kusema hawajui iwapo zilikuwa zikipelekwa mashariki ya kati.
Wakati huohuo maafisa wa maswala ya fedha walifichua wiki hii wamefanikiwa kunasa dawa milioni 37.5 aina ya Tramadol ambazo hutumiwa na wapiganaji wa IS.
- Marekani yaadhimisha shambulio la Septemba 11
- Wasichana 2 washambuliaji wa kujitolea mhanga wauawa Nigeria
- Ndege za Israel zashambulia wapiganaji wa Hamas Gaza
Mzigo huo ulikuwa unaelekea Libya.

Utumizi wa Tramadol ulielezewa na ripoti kuwa wa kiwango cha juu miongoni mwa wapiganaji wa Boko Haram nchini Nigeria na huenda ilitumika katika kusababisha mauaji katika pande zote mbili za mzozo.
0 Maoni:
Post a Comment