PICHA NAPE AKIKABIDHI OFISI KWA MWAKYEMBE


Hizi ni baadhi ya picha za makabidhiano hayo.

Hatimaye aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnaye amemkabidhi ofisi Dkt Harrison Mwakyembe ambaye ndiye waziri mpya wa wizara hiyo aliyeteuliwa wiki iliyopita. Makabidhiano hayo yamefanyika mapema leo asubuhi kwenye makao makuu ya wizara hiyo yaliyopo mkoani Dodoma.

Share on Google Plus
Ahsante kwa kutembelea site yangu, unaweza kunicheki kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza icons juu kulia na kunipata moja kwa moja kwenye Facebook, Twitter na Instagram...Endelea kuwa karibu yangu ili uweze kufikiwa na chochote kinachonifika.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment