MBUNGE CHADEMA ATOA MSAADA KWA WAZEE KIJIJI CHA MIGORI

Displaying IMG_20150101_043721.jpg
Mbunge wa viti maalumu CHADEMA Mkoa wa Iringa Mh Suzan Mgonokulima 
Displaying IMG_20150101_040056.jpg 
Displaying IMG_20150101_035745.jpg 
Displaying IMG_20150101_051052.jpgBaadhi ya msaada ukiwa umewekwa tayari kuwapatia wazee
Displaying IMG_20150101_051134.jpg 
Displaying IMG_20150101_051158.jpgBaadhi ya wazee wakisubiri kupewa msaada kutoka kwa Mbunge
Displaying IMG_20150101_051612.jpgMh Mbunge akikabidhi Msaada kwa wazee
Displaying IMG_20150101_051705.jpg 

Mh. Mbunge wa Viti maalumu Suzan Mgonokulima aliambatana na Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) Kwaajili ya kukabidhi msaada kwa wazee wa kijiji cha Migori kilichopo Wilayani Iringa Vijijini.

Mh. Mbunge alikwenda kutembelea Kata hiyo ya migori kuwatembelea wanawake wenzake wa kijiji hicho kutokana na siku ya maadhimisho ya siku ya wanawake kitaifa ambayo huadhimishwa kila mwaka mwezi March 8.

Wazee wakijiji hicho wameshukuru kupokea msaada huo kutoka kwa Mbunge pamoja na BAVICHA waliofika katika kijiji hicho.
Share on Google Plus
Ahsante kwa kutembelea site yangu, unaweza kunicheki kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza icons juu kulia na kunipata moja kwa moja kwenye Facebook, Twitter na Instagram...Endelea kuwa karibu yangu ili uweze kufikiwa na chochote kinachonifika.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment