Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 43 kujeruhiwa huku wengine 17 wakinusurika katika ajali iliyotokea mlima kitonga


Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 43 kujeruhiwa huku wengine 17 wakinusurika  katika ajali iliyotokea mlima kitonga inayohusisha gari kampuni ya Hood kugongana na lori aina ya Scania wilayani Kilolo mkoani siku ya jana majira ya saa nane mchana.




Lori aina ya Scania likiwa Limepinduka baada ya kugongana na Bus
 


Share on Google Plus
Ahsante kwa kutembelea site yangu, unaweza kunicheki kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza icons juu kulia na kunipata moja kwa moja kwenye Facebook, Twitter na Instagram...Endelea kuwa karibu yangu ili uweze kufikiwa na chochote kinachonifika.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment