TIMU YA KITWIRU FC KUA VIBONDE WA TIMU YA NYAMHANGA FC BAADA YA KUCHAPWA MAGOLI 5 KWA 1 KATIKA MICHUANO YA KOMBE LA MBUZI YANAYOFANYIKA KATIKA KIJIJI CHA KITWIRU SHULE YA MSINGI, HUKU BAO LAO LAKUFUTWA MACHOZI LIKIFUNGWA NA JOSEPH MLUA

Habari picha na Dajari Mgidange


















Kulia Mhidini Msigwa na Harrison Mandela(JAJA) wakiwa mapumziko wakishikwa na butwaa baada ya kupigwa goli 2-1

Kikosi cha Timu ya Kitwiru FC

















Timu ya Nyamhanga FC

TIMU ZIKIJIANDAA UWANJANI

















Timu ya Kitwiru Wakishambuliwa

Mchezaji EMMANUEL MWENGA akiwa hoi kipindi cha kwanza

















Mashabiki wakiangalia mpambano 








Shabiki asiyekata tamaa akishangilia Kitwiru FC kwa jina MUSSA 

















Kipindi cha pili Nyamhanga FC wakishambuliwa 









Baada ya mpira kuisha Shabiki akimpongeza Mchezaji JOSEPH MLUA

Share on Google Plus
Ahsante kwa kutembelea site yangu, unaweza kunicheki kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza icons juu kulia na kunipata moja kwa moja kwenye Facebook, Twitter na Instagram...Endelea kuwa karibu yangu ili uweze kufikiwa na chochote kinachonifika.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment