Mfungaji wa mabao mawili ya England Dominic Solanke katikati akishangailia na wachezaji wenzake
Timu za England na Venezuela
zimetinga kwenye hatua ya fainali ya michuano ya kombe la dunia la
vijana chini ya umri wa miaka 20.
Katika mchezo mwingine wa nusu fainali Venezuela wamewachapa Uruguay kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya sare ya goli 1-1 katika dakika tisini za kwaida.
Mchezo wa fainali kati ya England na Venezuela utachezwa june 11 katika dimba la Suwon mchezo huo ukitanguliwa na mchezo wa mshindi wa tatu kati ya Italia na Uruguay.
0 Maoni:
Post a Comment