McGregor atamba kumtwanga Mayweather mzunguko wa nne

Mayweather anatajwa kuwa miongoni mwa wanamichezo wenye mvuto mkubwa duniani 
Bondia Conor McGregor ameahidi kumtangwa Floyd Mayweather ndani ya Round nne wawili hao walipokutana katika kulizungumzia pambano lao la Agosti 26.

Wametokea mbele ya maelfu yamashabiki wao katika mkutano na waandishi wa habari mjini Los Angeles.
 McGregor amesema anashangaa nini kilifanya wapiganaji wengine wakashindwa kumtwanga Mayweather'Upinzani atakaoupata kutoka kwangu hajawahi kuupata kamwe'', alisema McGregor, 28.
Mayweather akajibu ''Nakuhakikishia nitaharibu uso wako''.

Mpambano huo unatajwa kuwa miongoni mwa itakayovutia zaidi duniani.
Share on Google Plus
Ahsante kwa kutembelea site yangu, unaweza kunicheki kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza icons juu kulia na kunipata moja kwa moja kwenye Facebook, Twitter na Instagram...Endelea kuwa karibu yangu ili uweze kufikiwa na chochote kinachonifika.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment